Kuyaelewa Mateso
Muhtasari
Watu wengi leo wanapitia mateso na unyanyasaji. Yesu aliishi katika maisha yenye mateso, pia. Aliwasaidia wengine, aliwaponya, na kuwafundisha njia iliyo bora. Watu wengine walimchukia na kumuua, ila baada ya siku tatu, alifufuka na kurejea mbinguni kwa Baba Yake. Kitini hiki kinasimulia tena kwa ufupi juu ya maisha na mateso ya Yesu, hali kadhalika ahadi Yake ya kuponya mioyo yetu iliyovunjika.
Aina
Kijitabu
Mchapishaji
Sharing Hope Publication
Inapatikana katika
9 Lugha
Kurasa
6
Pakua
Jisajili kwa ajili ya jarida letu
Kuwa wa kwanza kujua pale machapisho mapya yanapotoka
Tafuta Hadhira Yako
Machapisho Yaliyoangaziwa
© 2023 Sharing Hope Publications